Kitenduli
From Wikipedia
Kitenduli | ||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
![]() Kitenduli shavu-jekundu
|
||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||
|
Vitenduli ni ndege wadogo wa jenasi Uraeginthus ndani ya familia Estrildidae ambao wana rangi buluu. Kuna spishi mbili zingine kwa jenasi hii ambazo zinaitwa tunguhina na zina rangi kahawianyekundu, lakini wataalamu wengine wanaziweka ndani ya jenasi Granatina. Vitenduli zinatokea Afrika chini ya Sahara tu. Hupenda kuwa karibu na makazi ya watu. Tago lao hutengenezwa na manyasi juu ya mti au ndani ya paa; limefunikika juu na mwingilio kando.
[edit] Spishi
- Uraeginthus angolensis, Kitenduli Shavu-buluu (Southern Cordon-bleu)
- Uraeginthus bengalus, Kitenduli Shavu-jekundu (Red-cheeked Cordon-bleu)
- Uraeginthus cyanocephalus, Kitenduli Kichwa-buluu (Blue-capped Cordon-bleu)