Usawa bahari wastani
From Wikipedia
Usawa wa wastani wa maji ya bahari hutumika kama kipimo cha kulinganisha kimo cha mahali duniani toka usawa wa bahari. Kimo cha bahari hubadilika muda hadi muda. Wastani wa vimo hivi ni usawa bahari wastani.
Kawaida hutumika katika sentensi kama: "Nairobi iko 1644 mita juu ya usawa wa bahari." Au: "Ndege inatembea 11.000 mita juu ya usawa wa bahari" Kifupi chake: UB
Categories: Jiografia | Bahari | Vipimo