Waluhya
From Wikipedia
'Waluhya' (Abaluhya) ni kabila kubwa la pili katika Kenya wakikalia hasa Mkoa wa Magharibi. Wako pia Uganda na Tanzania.
Katika Kenya kuna koo 18, Uganda koo 4 na Tanzania ukoo mmoja wa Kiluhya. Koo kubwa zaidi ni Wabukusu, Wamaragoli, Wawanga, Wanyore, Waidakho, Wakisa, Waisukha, Watiriki, Wakabras, Wagisu na Wasaamia.
[edit] Viungo vya Nje
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Waluhya" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Waluhya kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |