Ziraa
From Wikipedia
Ziraa (kiar. ذراع ) ni kipimo cha urefu cha takriban 50 cm.
Ni kati ya vipimo asilia cha Kiswahili ni umbali mkubwa kati ya kidole kikubwa na kisugudi au kiko cha mkono wake.
Ziraa inalingana na kipimo cha shubiri; ziraa moja inalingana na shubiri mbili. ع