Dushanbe
From Wikipedia
Dushanbe (Kitajiki: Душанбе, دوشنبه) ni mji mkuu wa Tajikistan ikiwa na wakazi 562,000.
Jina limetokana na neno la Kiajemi kwa "Jumatatu" (du "mbili" + shanbe "siku" yaani "siku ya pili") kwa sababu mji ulianzishwa kama mahali pa soko kwenye siku ya Jumatatu.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Dushanbe" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Dushanbe kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |