Niue
From Wikipedia
|
|||||
Wito la taifa: {{{national_motto}}} | |||||
Wimbo wa taifa: Ko e Iki he Lagi | |||||
![]() |
|||||
Mji mkuu | Alofi |
||||
Mji mkubwa nchini | |||||
Lugha rasmi | Kiniue, Kiingereza | ||||
Serikali | Ufalme wa kikatiba Malkia Elizabeth II wa Uingereza Anton Ojala Young Vivian |
||||
Nchi shiriki Katiba ya Niue |
19 Oktoba 1974 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
260 km² () 0 |
||||
Idadi ya watu - Jul 2006 kadirio - Msongamano wa watu |
2,166 (--) /km² (--) |
||||
Fedha | New Zealand dollar (NZD ) |
||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
(UTC-11) (UTC) |
||||
Intaneti TLD | .nu | ||||
Kodi ya simu | +683 |
Niue ni nchi ya kisiwani katika Pasifiki ya kusini. Ni nchi ya kujitawala inayoshiriki na New Zealand inayoratibu siasa ya nje na mambo ya kijeshi.
Niue iko 2,400 km kaskazini-magharibi ya New Zealand kati ya Tonga, Samoa na Visiwa vya Cook. Inahesabiwa kati ya visiwa vya Polynesia ikiitwa "Mwamba wa Polynesia".
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Niue" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Niue kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |