Port Vila
From Wikipedia

Port Vila ni mji mkuu wa nchi ya visiwani vya Vanuatu katika Pasifiki ya kusini. Anwani ya kijiografia ni 17°45′S 168°18′E. Kuna wakazi 29,356.
Port Villa iko kwenye mwambao wa kusini wa kisiwa cha Efate. Ni mahali penye bandari kubwa na uwanja wa ndege muhimu wa nchi.