Belize City
From Wikipedia
Belize City ni mji mkubwa kabisa wa Belize. Zamani ilikuwa pia mji mkuu lakini baada ya kuharibiwa na dhoruba ya tufani mwaka 1961 mji mkuu mpya uliundwa kwa jina la Belmopan.
Mji ulikua tena baada ya tufani kuwa na wakazi 50,000 hadi 60,000. Belize City ni kitovu cha uchumi na utamaduni na pia bandari kuu ya nchi kando la bahari ya Karibi.