Kamboja
From Wikipedia
|
|||||
Wito la taifa: ![]() (Khmer: Taifa, Dini, Mfalme) |
|||||
Wimbo wa taifa: Nokoreach | |||||
![]() |
|||||
Mji mkuu | Phnom Penh |
||||
Mji mkubwa nchini | Phnom Penh | ||||
Lugha rasmi | KiKhmer1 | ||||
Serikali
Mfalme
Waziri Mkuu |
Ufalme wa Kidemokrasia Norodom Sihamoni Hun Sen |
||||
Uhuru Kutangazwa Kutambuliwa |
Kutoka Ufaransa 1949 1953 |
||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
181,035 km² (88th) 2.5% |
||||
Idadi ya watu - July 2005 kadirio - 1998 sensa - Msongamano wa watu |
14,071,000 (63rd) 11,437,656 78/km² (111th) |
||||
Fedha | ៛ Riel 2 (KHR ) |
||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
(UTC+7) (UTC+7) |
||||
Intaneti TLD | .kh | ||||
Kodi ya simu | +855 |
||||
1 Kifaransa na Kiingereza hueleweka na wasomi tu. 2Lakini pesa za Marekani hutumiwa sana. |
Kamboja au Kampuchia ni nchi katika bara la Asia upande wa Kusini-Mashariki. Inapakana na nchi za Thailand, Laos na Vietnam.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Kamboja" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Kamboja kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |