Lugha ya kwanza
From Wikipedia
Lugha ya kwanza ni lugha ya mtu ambayo anaiongea kama lugha yake ya kwanza tangu utotoni. Pia lugha hiyo huitwa lugha ya mama (kwa Kiingereza "mother tongue") kwa vile watu wengi hujifunza lugha yao ya kwanza kutoka kwa mama mzazi.
Categories: Mbegu | Lugha