Asia ya Mashariki
From Wikipedia
Asia ya Mashariki ni kanda la bara la Asia linalojumuisha takriban 15% za eneo la bara lote.
Nchi zifuatazo huhesabiwa kuwa sehemu za Asia ya Mashariki:
- China (pamoja na Hong Kong na Macau)
- Jamhuri ya China (Taiwan)
- Korea Kaskazini
- Korea Kusini
- Japani
- Mongolia
Kiutamaduni nchi hizi zote zimeathiriwa na China jinsi inavyonekana katika maandishi, falsafa ya Konfutse, Ubuddha wa Mahayana na mtindo wa kula kwa kutumia vijiti.
[edit] Tazama pia
- Asia ya Kati
- Asia ya Magharibi-Mashariki
- Asia ya Kusini
- Mashariki ya Kati
Categories: Asia | Mbegu