Intaneti
From Wikipedia
Intaneti ni mtandao wa kompyuta unaowezesha kompyuta mbalimbali duniani kuwa kuwasiliana. Kupitia mtandao huu, watu huweza kutembea webu mbalimbali, kupiga gumzo, na kuandikiana barua pepe.
[edit] Ona pia
[edit] Viungo vya Nje
Orodha ya maneno ya tarakishi ya mradi wa Kilinux kwenye Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Intaneti" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Intaneti kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |
Categories: Mbegu | Teknolojia | Habari